Imepakiwa  28/11/2011 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Kalonzo anavuna alichokipanda

Kalonzo alipoteza hekima yote na kuvunja miiko ya siasabora. Wakati wa kura ya maoni kuhusu katiba, Kalonzo alishindwa kuamua waziwazi, akasalia anacheza mdundo wa ndiyo mchana na usiku akasakata  soma zaidi...


Imepakiwa  28/11/2011 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Elimu: Bara Asia lina funzo mwafaka kwa Kenya

Mataifa kama vile Singapore, India, Korea Kusini na Malaysia ambayo yamelipua fataki ya kasi katika ustawi kiuchumi yalikuwa katika kiwango sawa na Kenya miaka ya sitini. Ruwaza iliyosukuma mataifa  soma zaidi...


Imepakiwa  28/11/2011 Comments :0

 

Peter Mwai :  Kibaki na Rais waseme mapema siku ya mwisho ya Serikali

Ikiwa tarehe ya uchaguzi itabaki kuwa siri, huenda kusiwe na nafasi ya kutekeleza Sheria za Uchaguzi.  soma zaidi...


Imepakiwa  28/11/2011 Comments :0

 

Omar Babu :  HAKUNA BINGWA WA BINGWA!

Siwiji alobingika, ambaye ataka tengwa, Atwambe amelimka, mjuzi asiyepingwa,  soma zaidi...


Imepakiwa  28/11/2011 Comments :0

 

Hezekiel Gikambi :  JE, UCHAGUZI UTAKAOKUJA UTALETA MAENDELEO ENDELEVU?

Inasikitisha kuwa baadhi ya wanafunzi bora katika mtihani wa KCPE hawatajiunga na shule za kitaifa kufuatia sera ambayo serekali inaitumia kuwateua wanafunzi. Sera hii imewaathiri wanafunzi wengi  soma zaidi...


Imepakiwa  28/11/2011 Comments :0

 

Peter Mwai :  Tutosheke na mipaka tusonge mbele : Hatuwezi kuridhisha kila mtu

NIMESEMA mara nyingi na yamkini nitaendelea kulalamika kwamba Wakenya ni watu wasiotosheka. Ni sawa tu na wana wa Israeli, katika Biblia. Baada ya kukombolewa kutoka minyororo ya utumwa misri,  soma zaidi...


Most Popular

 

BLOGU
Msanii na Sanaa: Msanii mashinani kupata mwanya

NTVKenya
BLOGU
Msanii na Sanaa: Msanii mashinani kupata mwanya

NTVKenya