Kalonzo alipoteza hekima yote na kuvunja miiko ya siasabora. Wakati wa kura ya maoni kuhusu katiba, Kalonzo alishindwa kuamua waziwazi, akasalia anacheza mdundo wa ndiyo mchana na usiku akasakata soma zaidi...
Mataifa kama vile Singapore, India, Korea Kusini na Malaysia ambayo yamelipua fataki ya kasi katika ustawi kiuchumi yalikuwa katika kiwango sawa na Kenya miaka ya sitini. Ruwaza iliyosukuma mataifa soma zaidi...
Ikiwa tarehe ya uchaguzi itabaki kuwa siri, huenda kusiwe na nafasi ya kutekeleza Sheria za Uchaguzi. soma zaidi...
Siwiji alobingika, ambaye ataka tengwa, Atwambe amelimka, mjuzi asiyepingwa, soma zaidi...
Inasikitisha kuwa baadhi ya wanafunzi bora katika mtihani wa KCPE hawatajiunga na shule za kitaifa kufuatia sera ambayo serekali inaitumia kuwateua wanafunzi. Sera hii imewaathiri wanafunzi wengi soma zaidi...
NIMESEMA mara nyingi na yamkini nitaendelea kulalamika kwamba Wakenya ni watu wasiotosheka. Ni sawa tu na wana wa Israeli, katika Biblia. Baada ya kukombolewa kutoka minyororo ya utumwa misri, soma zaidi...