Imepakiwa  4 sikus Iliyopita Comments :0

 

Mauya Omauya :  Ushoga Amerika: Pilipili usiyoila yakuwashiani?

Yaliyokubalika juzi, yalikanwa jana, yaliyokanwa jana, yanakubalika leo. Rais Obama alipokubali ndoa za watu wa jinsia moja alifahamu kwamba jamii ya Amerika ina raia wa kila nui. Tunaomkashifu  soma zaidi...


Imepakiwa  10/5/2012 Comments :0

 

Hugholin Kimaro :  Tusawazishe ‘kutaja saa’ kwa Kiswahili Kenya na Tanzania

Suala la kutaja saa kwa Kiswahili limekuwa tata kwani hakujaafikiwa njia moja Kenya na Tanzania. Hatufai kuona ugumu wa kuketi na kuafikiana kuhusu suala hili la saa na kuliingiza upya katika  soma zaidi...


Imepakiwa  10/5/2012 Comments :0

 

Sylvester Mukele :  Wachezaji nyota wasisahaulike katika Stars sana

Ingawa ni muhimu kuwapa nafasi wachezaji wanaosakata soka humu nchini, itakuwa muhimu iwapo wachezaji nyota, kama kina George 'Blackberry’ Odhiambo, wasisahaulike kwa kuachwa nje ya timu ya taifa  soma zaidi...


Imepakiwa  10/5/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  SWAHILI HUB kubiringirisha gurudumu maendeleo ya Kiswahili

Tunatarajia kwamba wapenzi na wakereketwa wa Kiswahili watajifungata masombo kuunga mkono vyombo hivi viwili – wavuti wa SWAHILI HUB na Chaukidu ili kuviwezesha kuendeleza Kiswahili.  soma zaidi...


Imepakiwa  8/5/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Mudavadi hana yoyote mapya kwa Wakenya

Jumapili, hotuba yake ilijaa cheche za moto zikielekezwa kwa rafiki yake wa zamani Waziri Mkuu Raila Odinga. Alimtaka astaafu pamoja na Rais Kibaki. Anasahau pia amekuwa nguzo kuu katika ODM.  soma zaidi...


Imepakiwa  7/5/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Ni vigumu kutimiza ruwaza ya mwaka 2030

Misongamano ya magari jijini Nairobi ni kizuizi na laana kuu kwa utimizaji wa malengo ya mwaka 2030. Iwapo raia watatumia masaa manne kusafiri maili 6 kufika kazini, basi tusjihadae kwamba  soma zaidi...


Imepakiwa  7/5/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Sahau Somalia, vunja Al-Shabaab Kenya kwanza

Tutagurumisha vifaru hadi Kismayu kukabili Al-Shabaab lakini iwapo makundi haya haramu yanapunga hewa katika jiji kuu, tutakuwa tunajihadaa.  soma zaidi...


Imepakiwa  4/5/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Musalia ni mradi wa  Uhuru Kenyatta

Huenda kuna mkono wa Uhuru Kenyatta na Rais Mwai Kibaki hata ingawa si kwa njia ya moja kwa moja katika kuchochea hatua ya Musalia Mudavadi kukigura chama cha ODM.  soma zaidi...


Imepakiwa  28/4/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  MRC ni hatari kwa Wapwani wenyewe

Msimamo wa ‘Pwani si Kenya’ unaangamiza kabisa uwezo wa wengi walio kando kuunga mkono juhudi za kusaka haki kwenye nyanja tofauti za maisha ya wapwani, Kujitenga ni balaa hasa kwa MRC, pwani  soma zaidi...


Imepakiwa  28/4/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Ni kuzungumkuti kujua nani atarithi Kibaki

Ni bayana kwamba siasa za Kenya zimejikita katika misingi ya ukabila. Hili huenda likawakosesha Wakenya kiongozi anayewafaa Rais Kibaki atakapostaafu baada ya uchaguzi mkuu ujao.  soma zaidi...


Imepakiwa  25/4/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Ukatili wa Polisi Limuru ni aibu kwa taifa

Ukatili wa kuzima upinzani kwa kutumia polisi kama ilivyofanyika katika mkutano wa Limuru 2B ulishuhudiwa mno nyakati za utawala wa kiimla wa Daniel Moi hasa dhidi ya wanaharakati wa kupigania  soma zaidi...


Imepakiwa  25/4/2012 Comments :0

 

Hugholin Kimaro :  Serikali imeshindwa kudhibiti twisheni shuleni

Twisheni au masomo ya ziada hufanyika huku maafisa wa elimu na wakaguzi wakiyafumbia macho. Ingefaa walimu watakaobainika kufanya twisheni kwa lengo la biashara wachukuliwe hatua kali za kisheria.  soma zaidi...


Imepakiwa  24/4/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Polisi hawakukosea kuvuruga Limuru 2B

Ikiwa kuna uhuru wa kufika kwenye kidimwi, kisha upate fununu kwamba mtu anapanga kwenda haja katika kidimbwi hicho, utasubiri afanye hivyo au utamnyima ruhusa? Kumbuka, jukumu la polisi pia ni  soma zaidi...


Imepakiwa  21/4/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Mudavadi hakusukumwa, alijirusha!

Musalia Mudavadi, tayari alikuwa amedumisha uaminifu kwa chama. Suala la uteuzi kuwa mgombeaji wa urais lilipozuka lilileta mkwaruzano lakini sio kwa uzito wa kumfanya ajiondoe kwani aliahidiwa  soma zaidi...


Imepakiwa  21/4/2012 Comments :0

 

Mwandawiro Mghanga :  Jumuiya ya Afrika Mashariki iwe ya kufaa umma

Ili kujikomboa na kuanza kuboresha maisha ya wengi, jumuia ya Afrika Mashariki sharti tutoke kwa ndoto na kuwa macho. Huku tukipambana dhidi ya jinamizi, tuamke kutoka usingizi wa ndoto nzuri ili  soma zaidi...


Imepakiwa  21/4/2012 Comments :0

 

Sylvester Mukele :  Heri marefa wa Afrika, wa Ulaya wamejaa hila

Wazungu ndio wenye upungufu mkubwa wa utaalamu, waliofurika mapendeleo, utepetevu na hata ubaguzi kwenye uendeshaji wa kazi yao viwanjani. Taja Uingereza, usisahau Uhispania, na Italia kote  soma zaidi...


Imepakiwa  21/4/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Kenya ina ‘ukame’ wa mrithi wa  Rais Kibaki

Kenya ina uhaba mkubwa wa watu wanaoweza kurithi Rais Mwai Kibaki. Vijana tuiowatarajia kufuta mipaka ya donda sugu la ukabila – hususan akina Uhuru Kenyatta, Wiliam Ruto tayari wamekwisha jibanza  soma zaidi...


Imepakiwa  17/4/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Tusiruhusu Sudan irejee vitani tena

Vita vikizuka tena Sudan, mataifa yote ya eneo zima yataathiriwa vikali kutoka na zigo la wakimbizi na ukosefu wa usalama, Hata kiongozi wa waasi wa LRA Joseph Kony atapata maficho tena.  soma zaidi...


Imepakiwa  17/4/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Tume ya Kawi haina manufaa kwa mwananchi

Badala awali ambapo wahudumu wangeguswa na utu na kelele za wateja na kuteremsha bei, sasa kila mhudumu hujihisi ametenda haki kwa “Serikali imesema bei iwe juu.” Maana ya tume kama hii ni nini  soma zaidi...


Imepakiwa  16/4/2012 Comments :0

 

Omar Babu :  Kuwapo hapo ulipo

Kunao wenye thakili, za daima waishipo, Kuwapo hapo ulipo, satuwa ndake Jalali!  soma zaidi...


Imepakiwa  12/4/2012 Comments :0

 

Sylvester Mukele :  Wakufunzi wa ng'ambo wapewe nafasi pia

Japo baadhi ya wakufunzi wazawa wa humu nchini wamekuwa wakifana, haipingiki kuwa kwa jumla makocha wa kigeni, yaani watokao ng’ambo hasa, wamekuwa wakifanikisha timu kuwazidi.  soma zaidi...


Imepakiwa  12/4/2012 Comments :0

 

Freddy Macha :  Said Ahmed astahili kongole kwa kuendeleza Kiswahili

Profesa Said Ahmed Mohammed ambaye toka 1997 amekuwa  mhadhiri wa fasihi ya Kiafrika chuo cha Bayreuth, Ujerumani ameandika vitabu vingi vya Kiswahili. Anasaidia pia kujenga fasihi si tu Afrika  soma zaidi...


Imepakiwa  12/4/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Uhuru Kenyatta amaepoteza taswira ya utaifa

Bw Uhuru Kenyatta amekimbilia muungano wa makabila ya Gikuyu, Embu, Meru Association (GEMA) hatua ambayo imeharibu sio tu taswira yake ya utaifa bali pia inahujumu mshikamano wa Wakenya wote na  soma zaidi...


Imepakiwa  12/4/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Adui mkuu wa Kenya si Kamatusa wala Gema

Tukiendelea kutenga baadhi ya viongozi tutaendelea kugawanya nchi na mwishowe tutaangamia kama wafanyavyo panya wanaotoboa mashimo kwenye mashua ikiwa baharini. Mashua itazama na hata wakiruka wa  soma zaidi...


Imepakiwa  10/4/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Dini Kenya haina tofauti na siasa

Tazama viongozi wa dini wakijibanza kwa wanasiasa bila kulaani uovu wa siasa zao, kuwafanyia sala washukiwa wa Ghasia za 2007 kana kwamba sala za maskini waathiriwa si kwa Mungu huyo huyo.  soma zaidi...


Imepakiwa  9/4/2012 Comments :0

 

Hugholin Kimaro :  Licha ya ukuaji, elimu Tanzania imebaki changamoto tupu

Ili kudhibiti ubora wa elimu inayotolewa katika vyuo hivi kuna haja ya serikali kuangalia uwezekano wa kuwa na mitalaa inayofanana kwa vyuo vyote kwa kozi zinazofanana. Kwa kufanya hivyo wahitimu  soma zaidi...


Imepakiwa  9/4/2012 Comments :0

 

Mwandawiro Mghanga :  Makanisa mengi yatachomwa Yesu akirudi

Je, Yesu ana nafasi gani katika historia ya binadamu maana kwa kweli Yesu aliishi ulimwenguni katika Mashariki ya Kati, hasa katika maeneo ya nchi ya Israel, Palestina na Jordan. Je, tunajifunza  soma zaidi...


Imepakiwa  6/4/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Kitumbua chetu kinaingizwa mchanga wa ukabila

Ukiangalia Kamatusa na Gema, ujanja ni ule ule. Wanasiasa wakichochewa na tamaa ya mamlaka wameanza kujizolea mashabiki na kutia raia katika makundi ya ‘sisi’  na ‘hao wengine’. Kimsingi, katika  soma zaidi...


Imepakiwa  6/4/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Serikali imesaliti wakulima kuchelewesha mbolea

Wakuu wa NCPB kuambia wakulima wakati huu kwamba wameshindwa kusafirisha mbolea ni kuwakejeli. Wanafaa kuchukuliwa hatua kali kuhakikisha kwamba mwaka ujao hawalemazi na kutesa wakulima kwani  soma zaidi...


Imepakiwa  6/4/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Mienendo ya Uhuru na Ruto itawaponza ICC

Kimsingi, mienendo ya Uhuru Kenyatta na Wiliam Ruto ni kuibua hisia kwamba, endapo hawatakuwa kwenye debe Uchaguzi Mkuu ufikapo, Kutakuwa na sokomoko tena. Sijui ni nani amewadanganya viongozi hawa  soma zaidi...


Imepakiwa  5/4/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Waturkana heri wangeimba ‘Rabbi sinipe mafuta...'

Laana ya mafuta sio mzaha babu. Badala ya maneno ya wimbo ‘O Rabbi usinipe mapenzi na wapendao hakuna’ Waturkana kheri wangeimba ‘Rabbi sinipe mafuta na wanaonijali hakuna’  soma zaidi...


Imepakiwa  3/4/2012 Comments :0

 

Mwandawiro Mghanga :  Mafuta yaliyogunduliwa huenda yasifae Waturkana

Ni jambo la kusikitisha zaidi kwamba hata kabla ya mafuta kuanza kuzalishwa huko Turkana tayari kuna kinyang’anyiro cha ardhi sehemu hiyo ambapo Waturkana wanaporwa ardhi yao - na hivyo mafuta  soma zaidi...


Imepakiwa  3/4/2012 Comments :0

 

Hugholin Kimaro :  Hali ya Kiswahili Tanzania yasikitisha

Ingawa Kiswahili ni lugha iliyoimarika sana nchini Tanzania, sasa imeanza kuingiwa na dosari tele za kisarufi, kimsamiati na matumizi yake kwa jumla.  soma zaidi...


Imepakiwa  31/3/2012 Comments :0

 

Sylvester Mukele :  Mzozo kuhusu Oliech wahitaji mashauriano

Jinsi Shirikisho la Soka nchini, FKF linavyoshauri, suluhu mwafaka baina ya pande hizi mbili, HSMB na Tusker, ni kuketi chini pamoja na wachezaji ili kufikia maelewano juu ya suala hili  soma zaidi...


Imepakiwa  31/3/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Kuna mihimili minne ya siasa Kenya

Wakenya sharti waanze kujiuliza ni kwa nini duru hii Rais Mwai Kibaki na Waziri Mkuu hawakuzozana hadharani kuhusu mabadiliko hayo. Huoni  kuwa hilo si jambo la kawaida.  soma zaidi...


Imepakiwa  31/3/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Eugene alichimbiwa shimo akajirusha

Eugene Wamalwa kwa kutilia mchuzi pakavu pa shoga zake wa G7, atasukuma chombo cha haki ya Kenya mrama. Atakuwa shujaa, lakini kwa muda mfupi tu na kwa watu wachache mno. Wamalwa amefika kilele, na  soma zaidi...


Imepakiwa  31/3/2012 Comments :0

 

Sylvester Mukele :  Uhayawani wa mashabiki udhibitiwe

INAKUBALIKA kuwa soka ya Kenya ilikofikia ni mbali. Aidha haipingiki kuwa maendeleo haya yametokana hasa na klabu mbili kubwa nchini, AFC Leopards na Gor Mahia.  soma zaidi...


Imepakiwa  31/3/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Wanaochora na kuandika kuta wote ni maadui

Baraza la Jiji linafaa kutayarisha sheria ndogo ambazo zitapelekea kukamatwa na kuhukumiwa kwa yeyote ambaye mabango ya kumuunga mkono yataonekana bila idhini.  soma zaidi...


Imepakiwa  28/3/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Gema punguzeni makeke, ICC ni ligi kubwa

Mkutano wa kundi la Gema siku chache zilizopita mjini Limuru ni kielelezo cha jinsi upofu wa wafuasi hawa na ushabiki wao unaweza sio tu kuwavurugia mambo bali pia kuamsha balaa katika taifa hili.  soma zaidi...


Imepakiwa  28/3/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Wizi wa  masomo na maarifa umekithiri vyuoni

Si watu wengi wanaofahamu kwamba vyeti vya shahada walivyo navyo ni mali ya vyuo vikuu walikosomea – na vyuo hivyo vina mamlaka ya kuwapokonya shahada hizo endapo itabainika kwamba walitumia mbinu  soma zaidi...


Imepakiwa  26/3/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Kweli kuna wezi na majizi

Iweje bara la Afrika limeozeana kwa ufisadi, na je kuna tofauti gani kati ya ufisadi Afrika na maovu yayo hayo tunayoshuhudia kwingineko ulimwenguni.  soma zaidi...


Imepakiwa  21/3/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Raila na Ruto walinoa kurukia IEBC na mahakama

Viongozi wafaa watambue kwamba hatufanyi uchaguzi kwa ajili yao. Tunaufanya kujenga nchi yetu. Wanaolalamika kwamba maoni yao hayakuzingatiwa wajue hata wakiondoka, nchi itaendelea. Demokrasia huwa  soma zaidi...


Imepakiwa  21/3/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  EAC: Nyani ni wale wale, msitu ndio tofauti

Ishara zipo kwamba Tanzania ina hofu kujirusha dimbwini ilhali haina hakika urefu maji na kama kuna madude wala-watu mle. Huku wanachama wengine  wakifungua mipaka kwa majirani kundini, Tanzania  soma zaidi...


Imepakiwa  18/3/2012 Comments :0

 

Mwandawiro Mghanga :  Uchaguzi mkuu ujao wafaa kuleta mabadiliko bora

Ni haki na wajibu wa kila mwananchi kutumia fursa iliyopo kupiga kura. Kupiga kura ni uzalendo, ni kushiriki katika kazi ya kulea demokrasi na maendeleo.  soma zaidi...


Imepakiwa  18/3/2012 Comments :0

 

Hezekiel Gikambi :  Tukumbatie Kiswahili kwa dhati na kukionea fahari

Hatua ya kukikweza hadhi Kiswahili kuwa lugha rasmi haitambui tu nafasi ya lugha hii muhimu nchini bali pia hadhi yake kama chombo ambacho kimepigiwa upatu kuwa lingua franka barani Afrika.  soma zaidi...


Imepakiwa  14/3/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Raila, Uhuru na Ruto wajue nchi inawashinda

Kenya ni muhimu kuliko wanasiasa binafsi – wawe ni Bw Raila Odinga, Uhuru Kenyatta na Wiliam Ruto. Kwa hiyo, kucheza karata za kisiasa zinazoegemea ukabila ni hatari kwa usalama wa taifa hili –  soma zaidi...


Imepakiwa  14/3/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Waliomo kwenye bahasha ya Waki washtakiwe

Waziri Mkuu Raila Odinga si jaji wala nabii wa kujua ikiwa Bw Ruto na Bw Kenyatta wana hatia na kuwahukumu. Hali kwamba ni maadui zake kisiasa haifai kumfanya awachukie bila kusahau kwamba ni raia  soma zaidi...


Imepakiwa  12/3/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Nyong’o atulize boli, aongee na wauguzi

Prof Anyang’ Nyong’o anaonyesha ujeuri na kiburi anapokataa kulegeza kamba na kushauriana na wauguzi ili mwananchi wa kawaida akome mateso, haoni balaa inayoendelea hospitalini, na kama yuaiona,  soma zaidi...


Imepakiwa  12/3/2012 Comments :0

 

Kennedy Opindi :  Serikali ilinoa kwa kuwafuta kazi wauguzi

Kwa kutosikiliza vilio vya wauguzi waliogoma, serikali imekataa kutambua mchango muhimu unaotekelezwa na wauguzi hawa kwa nchi yetu tukufu.  soma zaidi...


Imepakiwa  11/3/2012 Comments :0

 

Mwandawiro Mghanga :  Ukombozi wa wanawake ni ukombozi wa jamii

Jamii lazima iendelee kupambana kuhakikisha wanawake wanajishindia uwezo wa kuwa na fursa sawa na wanaume kwa kila hali. Tena ikumbukwe kwamba harakati za ukombozi wa wanawake si za kuwafanya  soma zaidi...


Imepakiwa  11/3/2012 Comments :0

 

Hugholin Kimaro :  Wizi wa mitihani huanza katika KNEC

Baraza linafaa kukiri kwamba linao udhaifu mkubwa katika ulinzi wa mitihani yake na litafute mbinu za kuudhibiti. Liwe na maafisa wanaozingatia maadili ya kikazi zaidi, liepuke kushirikisha walimu  soma zaidi...


Imepakiwa  11/3/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Masaibu ya wafanyakazi wa KBC yasipuuzwe

Ni matumaini yangu kwamba Serikali itasikiliza kilio cha wafanyakazi hao ambao wameumia kwa miaka mingi.  soma zaidi...


Imepakiwa  11/3/2012 Comments :0

 

Kennedy Opindi :  Kukubaliwa ramsi kwa makahaba kutafaa nchi

Kuidhinishwa kwa ukahaba kutaiondolea nchi yetu fedheha inayohusishwa na baadhi ya visa vya aibu kama vile mapenzi ya hadharani ilivyokuwa  katika vile visa vya Muliro gardens-Kakamega.  soma zaidi...


Imepakiwa  11/3/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Wauguzi wanafaa kujilaumu wenyewe

Wanalalamika kwamba Serikali imekosa kutimiza mkataba waliotia saini lakini wenyewe ni wa kulaumiwa. Walipokuwa wakitia saini mkataba huo, viongozi wa Chama cha Wahudumu wa Sekta ya Afya (KHPS)  soma zaidi...


Imepakiwa  3/3/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Tafsiri sisisi inakera katika taaluma ya habari

Tahadhari inapaswa kuchukuliwa ili kujiepusha na tafsiri ambayo inakera – hasa kwa sababu ama inafanywa na watu wasiofahamu utendakazi wa lugha za tamaduni husika au kwa sababu ya uzembe.  soma zaidi...


Imepakiwa  3/3/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Kenya imekwama topeni Somalia

Jeshi la Kenya limemeza chambo, na labda kuna kina yakhe fulani wanasherehekea nchini Nairobi, kwenye maofisi ya serikali. Hatimaye kwa kutumia uwepo wetu nchini Somalia, watapata madola kutoka kwa  soma zaidi...


Imepakiwa  3/3/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Kifo cha Katalambula ni pigo kwa fasihi ya Kiswahili

Nilipokuwa ninasherehekea mchango wa mwandishi huyu katika ulingo wa fasihi ya Kiswahili, sikujua mauti yalikuwa yamekwisha kumpigia simu yiyo hiyo – ‘Simu ya Kifo’.  soma zaidi...


Imepakiwa  3/3/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Makatibu wanaopanga kuwania hawana makosa

Waziri Mkuu Raila Odinga na Rais Kibaki wameochangia kuwepo kwa utata wa sasa kuhusu tarehe ya uchaguzi. Huwezi kusubiri makatibu hawa wajiuzulu kuambatana na Kifungu 43 (5) cha sheria hizo bila  soma zaidi...


Imepakiwa  17/2/2012 Comments :0

 

Bitugi Matundura :  Siasa za Raila ni historia inayojirudia

Haishangazi kwamba ajenda kuu ya wapinzani wa Raila Odinga kwenye kinyang’anyiro cha Ikulu katika uchaguzi mkuu ujao ni kumzuia asiwe rais.  soma zaidi...


Imepakiwa  17/2/2012 Comments :0

 

Kennedy Opindi :  Walimu kutia saini kandarasi za utendakazi ni hatua bora

Hali ilivyo sasa katika baadhi ya shule za umma si ya kuridhisha sana ambapo masomo ni duni, walimu huja na kutoka shuleni wapendavyo na hali ya miundo misingi yake ni ishara ya kupungukiwa maarifa  soma zaidi...


Imepakiwa  24/2/2012 Comments :0

 

MGENI WETU :  Tathmini ya ligi ya kandanda ya Kenya 2012

Wengi wanasubiri kuona ni kwa vipi wageni hao watakavyojizatiti msimu huu ama wataishia kunawa na wasile na hivyo kuyaaga mashindano hayo mwishoni mwa mwaka huu jinsi ilivyokuwa kwa wageni  wa  soma zaidi...


Imepakiwa  24/2/2012 Comments :0

 

Mwandawiro Mghanga :  Tuhakikishe uchaguzi mkuu ujao unaleta maendeleo endelevu

Kenya bado hatufanyi maendeleo endelevu maana wachache tu ndiyo wanaoishi maisha bora huku wengi wakididimia katika hali ya ufukara, ujinga na ukosefu wa kila hali.  soma zaidi...


Imepakiwa  23/2/2012 Comments :0

 

Hugholin Kimaro :  Wimbi la mapinduzi Afrika ni zao la udikteta wa magharibi

WAAFRIKA hatuna la kujivunia kutokana na wimbi la mageuzi tunayoshuhudia katika baadhi ya mataifa yetu kwani daima yanaendelea kufanyika kwa manufaa ya mataifa hayo makubwa.  soma zaidi...


Imepakiwa  24/2/2012 Comments :0

 

Hugholin Kimaro :  Tuzingatie ushauri wa wataalamu wa anga tusalimike

Sababu za wataalamu hao kututahadharisha ni kwamba mara nyingi mvua nyingi zinyeshapo na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi maafa na uharibifu wa mali vimetokea.  soma zaidi...


Imepakiwa  27/2/2012 Comments :0

 

Freddy Macha :  Faraj Katalambula alichangia sana kuendeleza fasihi na Kiswahili

Kifo cha Faraji Katalambula kilichosababishwa na maradhi ya kisukari kilipita kimya kimya. Na hii si mara ya kwanza kwa waandishi stadi sana wa Kiswahili kufariki na habari zao kuyoyoma na  soma zaidi...


Imepakiwa  17/2/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Kalonzo anavuna alichokipanda

Kalonzo alipoteza hekima yote na kuvunja miiko ya siasabora. Wakati wa kura ya maoni kuhusu katiba, Kalonzo alishindwa kuamua waziwazi, akasalia anacheza mdundo wa ndiyo mchana na usiku akasakata  soma zaidi...


Imepakiwa  3/2/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Githae na Kimemia wana kibarua kigumu

Githae akumbuke kuna Katiba Mpya na taratibu mpya za kufuatwa asije akajikuta taabani kama mtangulizi wake mwaka uliopita. Ni jukumu lake pia kukabiliana na kiwango cha mfumko.  soma zaidi...


Imepakiwa  17/2/2012 Comments :0

 

Mauya Omauya :  Elimu: Bara Asia lina funzo mwafaka kwa Kenya

Mataifa kama vile Singapore, India, Korea Kusini na Malaysia ambayo yamelipua fataki ya kasi katika ustawi kiuchumi yalikuwa katika kiwango sawa na Kenya miaka ya sitini. Ruwaza iliyosukuma mataifa  soma zaidi...


Imepakiwa  3/2/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Kibaki na Rais waseme mapema siku ya mwisho ya Serikali

Ikiwa tarehe ya uchaguzi itabaki kuwa siri, huenda kusiwe na nafasi ya kutekeleza Sheria za Uchaguzi.  soma zaidi...


Imepakiwa  1/2/2012 Comments :0

 

Omar Babu :  HAKUNA BINGWA WA BINGWA!

Siwiji alobingika, ambaye ataka tengwa, Atwambe amelimka, mjuzi asiyepingwa,  soma zaidi...


Imepakiwa  3/2/2012 Comments :0

 

Hezekiel Gikambi :  JE, UCHAGUZI UTAKAOKUJA UTALETA MAENDELEO ENDELEVU?

Inasikitisha kuwa baadhi ya wanafunzi bora katika mtihani wa KCPE hawatajiunga na shule za kitaifa kufuatia sera ambayo serekali inaitumia kuwateua wanafunzi. Sera hii imewaathiri wanafunzi wengi  soma zaidi...


Imepakiwa  3/2/2012 Comments :0

 

Peter Mwai :  Tutosheke na mipaka tusonge mbele : Hatuwezi kuridhisha kila mtu

NIMESEMA mara nyingi na yamkini nitaendelea kulalamika kwamba Wakenya ni watu wasiotosheka. Ni sawa tu na wana wa Israeli, katika Biblia. Baada ya kukombolewa kutoka minyororo ya utumwa misri,  soma zaidi...


 

BLOGU

NTVKenya
BLOGU

NTVKenya