Hatua ya kukikweza hadhi Kiswahili kuwa lugha rasmi haitambui tu nafasi ya lugha hii muhimu nchini bali pia hadhi yake kama chombo ambacho kimepigiwa upatu kuwa lingua franka barani Afrika. soma zaidi...
Kenya bado hatufanyi maendeleo endelevu maana wachache tu ndiyo wanaoishi maisha bora huku wengi wakididimia katika hali ya ufukara, ujinga na ukosefu wa kila hali. soma zaidi...
Inasikitisha kuwa baadhi ya wanafunzi bora katika mtihani wa KCPE hawatajiunga na shule za kitaifa kufuatia sera ambayo serekali inaitumia kuwateua wanafunzi. Sera hii imewaathiri wanafunzi wengi soma zaidi...