Kwa kutosikiliza vilio vya wauguzi waliogoma, serikali imekataa kutambua mchango muhimu unaotekelezwa na wauguzi hawa kwa nchi yetu tukufu. soma zaidi...
Kuidhinishwa kwa ukahaba kutaiondolea nchi yetu fedheha inayohusishwa na baadhi ya visa vya aibu kama vile mapenzi ya hadharani ilivyokuwa katika vile visa vya Muliro gardens-Kakamega. soma zaidi...
Hali ilivyo sasa katika baadhi ya shule za umma si ya kuridhisha sana ambapo masomo ni duni, walimu huja na kutoka shuleni wapendavyo na hali ya miundo misingi yake ni ishara ya kupungukiwa maarifa soma zaidi...