<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rdf:RDF xmlns:rdf="http://www.w3.org/1999/02/22-rdf-syntax-ns#" xmlns="http://purl.org/rss/1.0/" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:taxo="http://purl.org/rss/1.0/modules/taxonomy/">
  <channel rdf:about="/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306806/-/jdrc8lz/-/index.html">
    <title>Swahili HubJifunze Kiswahili</title>
    <link>/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306806/-/jdrc8lz/-/index.html</link>
    <description />
    <items>
      <rdf:Seq>
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1379836/-/j9egx8z/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1371388/-/j9k5aez/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1355070/-/japi6tz/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1336076/-/jbwvn4z/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333378/-/jbyw97z/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333318/-/jbyweiz/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333316/-/jbywekz/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333292/-/jbyx02z/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306878/-/jdrc2cz/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306828/-/jdrc6rz/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306830/-/jdrc64z/-/index.html" />
        <rdf:li resource="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306880/-/jdrc1oz/-/index.html" />
      </rdf:Seq>
    </items>
  </channel>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1379836/-/j9egx8z/-/index.html">
    <title>Kiswahili Beginners</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1379836/-/j9egx8z/-/index.html</link>
    <description>Kiswahili Beginners</description>
    <dc:date>2012-04-04T09:29:53Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1371388/-/j9k5aez/-/index.html">
    <title>Wajue Wasekuye</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1371388/-/j9k5aez/-/index.html</link>
    <description>Wasakuye hukaribiana sana na makabila ya Gabbra, Borana, na Merille. Walitengana wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia kwani wengi wao walitorokea nyikani ili waepukane na serikali ya mkoloni iliyowataka waende wapigane nchini Burma barani Asia.</description>
    <dc:date>2012-03-22T12:53:50Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1355070/-/japi6tz/-/index.html">
    <title>Kiswahili ni lugha inayopata umaarufu</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1355070/-/japi6tz/-/index.html</link>
    <description>aBeatrice Kangai, "Nimekuwa na hamu ya kujifunza Lugha hii katika ukamilifu wake.</description>
    <dc:date>2012-02-27T17:12:09Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1336076/-/jbwvn4z/-/index.html">
    <title>Usomaji wa magazeti na vitabu vya Kiswahili ulinifaa</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1336076/-/jbwvn4z/-/index.html</link>
    <description>Peter Mwai, "Lugha ya Kiswahili ni lugha rahisi sana kuielewa. Hata hivyo, wanafunzi wengi bado hulalamika kwamba ni lugha ngumu kutokana na kutojua.</description>
    <dc:date>2012-02-27T13:28:35Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333378/-/jbyw97z/-/index.html">
    <title>Nilipiga lugha msasa kupitia Swahilihub</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333378/-/jbyw97z/-/index.html</link>
    <description>Sarah Sejer Carlsen, “Nimekuwa na azma kuu ya kuhudumu Afrika. Hii ilitimia nilipotambua Lugha tamu ya Kiswahili. Sasa hivi ninaweza kusema Kiswahili baada ya kukisoma katika Chuo Cha SOAS.</description>
    <dc:date>2012-02-23T12:55:54Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333318/-/jbyweiz/-/index.html">
    <title />
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333318/-/jbyweiz/-/index.html</link>
    <description>KISWAHILI ELEMENTARY/BEGINNERS LEVEL</description>
    <dc:date>2012-02-23T11:51:59Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333316/-/jbywekz/-/index.html">
    <title />
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333316/-/jbywekz/-/index.html</link>
    <description>INTRODUCTION</description>
    <dc:date>2012-02-23T11:45:50Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333292/-/jbyx02z/-/index.html">
    <title>History and Origin of Swahili</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1333292/-/jbyx02z/-/index.html</link>
    <description>Swahili is a Bantu language with a lot of borrowed words from Arabic. It existed even before the arrival of the first visitors on the East Africa coast who were Arabs as noted by historians like Grenville.</description>
    <dc:date>2012-02-23T11:18:23Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306878/-/jdrc2cz/-/index.html">
    <title>Tabia ya Ruto kuhama vyama huenda ikampunguzia umaarufu wa kisiasa</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306878/-/jdrc2cz/-/index.html</link>
    <description>Hivi majuzi, mbunge wa Eldoret Kaskazini, Bw William Ruto, alikihama chama cha UDM na kujiunga na chama kipya cha United Republican Party (URP). Hii bila shaka ni hatua ambayo ilitarajiwa baada ya mbunge huyo kukosa makali katika chama cha UDM.</description>
    <dc:date>2008-10-30T11:13:12Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306828/-/jdrc6rz/-/index.html">
    <title>Uteuzi wa Kidato cha Kwanza uwe wa haki</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306828/-/jdrc6rz/-/index.html</link>
    <description>WALIMU Wakuu wa shule za upili, hasa za ngazi ya taifa, wanakutana leo (Ijumaa), kuanza kuwateua wanafunzi 
watakaojiunga na kidato cha kwanza.
Uteuzi huo umeibua hisia kali, hasa kutoka kwa wadau katika sekta ya shule za kibinafsi. 
Mwenyekiti wa chama cha Shule za Kibinafsi Bw John Mwai, ametishia kwenda mahakamani iwapo Serikali itaendelea na 
mpango wa kuteua mwanafunzi mmoja kutoka shule za kibinafsi kwa kila watatu kutoka za umma.
Huenda shule za kibinafsi zikawa na hoja katika jambo hili. Watoto waliosoma katika shule za kibinafsi, bado ni 
watoto wa Kenya. Kama walipata alama za kuwawezesha kujiunga na shule za kitaifa, hakuna sababu ya kuwanyima.
Lakini pia Bw Mwai na wenzake wanafaa kujiuliza; ikiwa mwanafunzi aliyesoma akiwa anakalia mawe atapata alama 380 
na aliyekuwa akibebwa kwa gari, akisoma kwenye shule yenye vifaa vyote atapata alama 390, ni yupi anayestahili 
nafasi katika shule ya kitaifa?
Katiba yetu inasema elimu ni haki ya kila mtoto bila kubaguliwa. Kwa hivyo, mtoto wa maskini aliyesoma katika shule 
ya umma, akinyimwa nafasi hiyo, hawezi kwenda kupata nafasi katika shule nzuri ya upili ya kibinafsi.
Nayo Serikali kwa upande wake, inapaswa kuhakikisha kuwa inakamilisha pesa ilizoahidi kuzipa shule zilizopandishwa 
ngazi majuzi.
Hakutakuwa na usawa kama mwanafunzi mmoja aliyepata alama 400 ataitwa kujiunga na Alliance au Mangu na mwenzake 
aliyepata alama sawa na hizo ajiunge na Pangani, Maranda au Shimo La Tewa, ikiwa shule hizi hazitapewa vifaa vinavyohitajika kufaulisha masomo.Bila shaka, mwanafunzi aliye shule za kitaifa za kundi la kwanza atakuwa amemzidi mwenzake.
Shule za ngazi ya mkoa na wilaya pia zinafaa kufadhiliwa na Serikali ili viwango vya elimu viimarike katika shule 
za umma.</description>
    <dc:date>2008-10-30T11:13:12Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306830/-/jdrc64z/-/index.html">
    <title>Kina mama jitokezeni</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306830/-/jdrc64z/-/index.html</link>
    <description>Akina mama wanastahili kujitokeza kuwania nyadhifa mbalimbali wakati wa uchaguzi mkuu ujao.
Kauli hiyo ilitolewa na diwani wa wadi ya Shanzu, kaunti ya Mombasa,  Bi Maimuna Salim, hapo jana.
Alisema kwamba akina mama ndio uti wa mgongo wa taifa hili, na wanapswa kujitokeza kukabiliana ana kwa ana na wanaume bila kusubiri kuteuliwa.
Sawa na wanaume,  akina mama pia wana uwezo,juhudi na maarifa ya kuleta mendeleo  nchini, alinena Bi Maimuna.
Alitoa mwito kwa vijana wajihadhari ili wasiumiwe na wanasiasa kuzua fujo wakati huu ambapo uchaguzi mkuu unakaribia.
Bi Maimuna alikuwa akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa mataa ya barabarani  katika wadi hiyo, iliyofanyika katika eneo la Saga karibu na hoteli ya kitalii ya Severin.
Wakati huo huo, Bi Maimuna aliwaonya vikali mabwanyenye wanaoziba njia za wananchi kutumia  kuelekea ufuoni kwamba siku zao zimefika.
Alisema kwamba ingawa serikali ilitenga nafasi ya njia kwa wananchi kupitia kuelekea ufuoni kujivinjari na wavuvi kuelekea baharini, sasa nafasi hizo zimenyakuliwa na mabwanyenye.
Alishangaa kwamba barabara hizo ndogo zimezibwa na mabwanyenye hao hivyo kuwalazimisha wananchi kutembea mbali ili kufika ufuoni.
Aidha,  diwani huyo aliwataka wananchi kuwa na subira wakati huu anaposhghulikia swala hilo, huku akiahidi kwamba suluhisho litapatikana hivi karibuni.</description>
    <dc:date>2008-10-30T11:13:12Z</dc:date>
  </item>
  <item rdf:about="http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306880/-/jdrc1oz/-/index.html">
    <title>WAANDISHI WAFUKUZWA KESI YA JAJI MKUU</title>
    <link>http://taifaleo.co.ke/JifunzeKiswahili/-/1306806/1306880/-/jdrc1oz/-/index.html</link>
    <description>WAANDISHI habari jana walifukuzwa katika kesi ya talaka aliyowasilisha Jaji Mkuu Dkt Willy Mutunga dhidi ya mkewe.</description>
    <dc:date>2008-10-30T11:13:12Z</dc:date>
  </item>
</rdf:RDF>


