habari
Imepakiwa - Thursday, October 30 2008 at 20:13
Kwa muda mrefu, wasomi na wakereketwa wa lugha ya Kiswahili wamekuwa wakihangaika kuhusu mahali ambapo wangeweza kubadilishana maoni ya kitaalamu pamoja na kuiinua, kuipamba na kuikuza lugha ya Kiswahili. Basi! Hakuna subiri subiri tena! Mtandao huu wa Swahilihub utakufahamisha, kukuchangamsha na kukujuza mengi kuhusu lugha hii teule na stahiki...................................
Wabunge 175 nchini Zimbabwe watapashwa tohara kufikia mwisho wa mwezi ujao katika juhudi za kuhamasisha wanaume
MWANAWE Waziri wa Fedha Njeru Githae anadaiwa kujiua nyumbani kwao Runda, Nairobi. Polisi wameanzisha uchunguzi
Polisi wameanzisha msako mkali kutafuta washukiwa waliotekeleza shambulio la kigaidi katika mkahawa wa Bella Vista,
Ibada mbili tofauti zilifanywa kuadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha bingwa wa marathon katika Olimpiki Samuel