Imepakiwa - Tuesday, February 21 2012 at 15:18
Kwa Mukhtasari
Barabara ya kisasa Pangani
Kukamilika kwa barabara kuu ya Thika kunatarajiwa kuchangia katika kupunguza msongamano katika barabara hiyo yenye shughuli nyingi. Pangani ni moja ya maeneo yanayounga barabara hiyo iliyofunguliwa kwa utumiaji wa magari. Hatua hiyo imepunguza msongamano kwa kiasi kikubwa. Eneo hilo la Pangani lina muundo wa kipekee wa barabara hizo mpya katika kanda ya Afrika Mashariki.
Wabunge 175 nchini Zimbabwe watapashwa tohara kufikia mwisho wa mwezi ujao katika juhudi za kuhamasisha wanaume
MWANAWE Waziri wa Fedha Njeru Githae anadaiwa kujiua nyumbani kwao Runda, Nairobi. Polisi wameanzisha uchunguzi
Polisi wameanzisha msako mkali kutafuta washukiwa waliotekeleza shambulio la kigaidi katika mkahawa wa Bella Vista,
Ibada mbili tofauti zilifanywa kuadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha bingwa wa marathon katika Olimpiki Samuel