Wabunge wataka Kibaki aseme 'Raila Tosha'

His excellency President Mwai Kibaki in a colourful attire after being installed as a Luo elder by Luo Council of elders Chairman Ker Willis Otondi in a colourful ceremony at the Moi stadium in Kisumu 02-02-2012. Photo/TOM OTIENO 

Na MWANDISHI WETU  ( email Mwandishi)

Imepakiwa - Thursday, February 2  2012  at 23:35

Kwa Mukhtasari

Wabunge wa ODM waambia Rais kuwa alifanyiwa hisani kwa kuungwa mkono na Waziri Mkuu Raila Odinga mwaka 2002

 

SHEREHE za ufunguzi wa uwanja mpya wa ndege wa kimataifa wa Kisumu ziligeuzwa uwanja wa siasa Alhamisi huku wabunge wa ODM wakimtaka Rais Mwai Kibaki aeleze uungaji mkono wake kwa Waziri Mkuu Raila Odinga kuwa rais.

Wabunge hao walioongozwa na Waziri wa Ardhi, Bw James Orengo, na Kiranja mwenza wa serikali bungeni, Bw Jakoyo Midiwo waliambia Rais kuwa alifanyiwa hisani kwa kuungwa mkono na Waziri Mkuu Raila Odinga mwaka 2002.

Lakini Rais Kibaki hakuzungumzia siasa. Rais alikuwa ameandamana na Bw Odinga kufungua uwanja huo uliokarabatiwa kwa gharama ya Sh3 bilioni na kufanywa wa ngazi ya kimataifa.

Share Bookmark Print

Rating

 

 

 

 

 

 

Most Popular

Wabunge 175 kutahiriwa Zimbabwe

Wabunge 175 nchini Zimbabwe watapashwa tohara kufikia mwisho wa mwezi ujao katika juhudi za kuhamasisha wanaume

Mwanawe Waziri wa Fedha ajitia kitanzi

MWANAWE Waziri wa Fedha Njeru Githae anadaiwa kujiua nyumbani kwao Runda, Nairobi. Polisi wameanzisha uchunguzi

Polisi waendelea kusaka walioshambulia Mombasa

Polisi wameanzisha msako mkali kutafuta washukiwa waliotekeleza shambulio la kigaidi katika mkahawa wa Bella Vista,

Utengano wakumba ukumbusho wa Wanjiru

Ibada mbili tofauti zilifanywa kuadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha bingwa wa marathon katika Olimpiki Samuel